Matendo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na kwamba kutokana na mambo yote ambayo ninyi hamngeweza kutangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya Huyu.+ Wagalatia 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa sababu hiyo Sheria imekuwa mtunzaji wetu kutuongoza kwa Kristo,+ ili tutangazwe kuwa waadilifu+ kutokana na imani.
39 na kwamba kutokana na mambo yote ambayo ninyi hamngeweza kutangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya Huyu.+
24 Kwa sababu hiyo Sheria imekuwa mtunzaji wetu kutuongoza kwa Kristo,+ ili tutangazwe kuwa waadilifu+ kutokana na imani.