Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana, Sheria+ ikiwa haina uwezo, huku ilipokuwa dhaifu+ kupitia mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwana+ wake mwenyewe akiwa katika mfano wa mwili+ wenye dhambi+ na kuhusu dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili,

  • Waebrania 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana Sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu,+ lakini kuingizwa kwa tumaini+ bora kulifanya mambo yawe makamilifu, ambalo kupitia hilo tunamkaribia Mungu.+

  • Waebrania 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja, lakini si umbo halisi la mambo hayo, watu hawawezi kamwe kuwafanya wale wanaokaribia kuwa wakamilifu+ kwa dhabihu zilezile mwaka baada ya mwaka ambazo wao huendelea kuzitoa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki