Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 13:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na kwamba kutokana na mambo yote ambayo ninyi hamngeweza kutangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya Huyu.+

  • Wagalatia 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 tukijua kama vile tunavyojua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu,+ si kwa sababu ya matendo ya sheria, bali tu kupitia imani+ kumwelekea Kristo Yesu, hata sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kutokana na imani kumwelekea Kristo,+ na si kutokana na matendo ya sheria, kwa sababu hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu kutokana na matendo ya sheria.+

  • Waebrania 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja, lakini si umbo halisi la mambo hayo, watu hawawezi kamwe kuwafanya wale wanaokaribia kuwa wakamilifu+ kwa dhabihu zilezile mwaka baada ya mwaka ambazo wao huendelea kuzitoa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki