Zaburi 143:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wala usiingie katika hukumu pamoja na mtumishi wako;+Kwa maana mbele zako, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu.+ Matendo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na kwamba kutokana na mambo yote ambayo ninyi hamngeweza kutangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya Huyu.+ Waroma 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ni nani atakayefanya shtaka juu ya waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+
2 Wala usiingie katika hukumu pamoja na mtumishi wako;+Kwa maana mbele zako, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu.+
39 na kwamba kutokana na mambo yote ambayo ninyi hamngeweza kutangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya Huyu.+
33 Ni nani atakayefanya shtaka juu ya waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+