8 Yeye anayenitangaza mimi kuwa mwadilifu yupo karibu.+ Ni nani anayeweza kushindana nami? Na tusimame pamoja.+ Ni nani aliye mpinzani wangu katika kesi?+ Na anikaribie.+
22 yeye sasa amewapatanisha+ tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake,+ ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari+ na bila shtaka+ lolote mbele zake,