10 Kwa maana, ikiwa tulipokuwa adui+ tulipatanishwa na Mungu kupitia kifo cha Mwana wake,+ tutaokolewa kwa uhai wake+ hata zaidi, kwa kuwa sasa tumepatanishwa.
16 na ili avipatanishe+ kwa ukamili hivyo vikundi viwili vya watu+ katika mwili mmoja kwa Mungu kupitia mti wa mateso,+ kwa sababu alikuwa ameua ule uadui+ kwa njia ya yeye mwenyewe.