Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+

  • Ayubu 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Kwa kweli najua ya kuwa iko hivyo.

      Lakini mwanadamu anayeweza kufa anawezaje kuwa upande wa haki akiwa katika kesi na Mungu?+

  • Zaburi 51:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Nilizaliwa kwa maumivu nikiwa na kosa,+

      Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.+

  • Zaburi 130:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kama ungekuwa unaangalia makosa,+ Ee Yah,

      Ee Yehova, ni nani angesimama?+

  • Mhubiri 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana hakuna mwanadamu aliye mwadilifu duniani ambaye huendelea kufanya mema na asifanye dhambi.+

  • Waroma 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+

  • 1 Yohana 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kama tukisema: “Sisi hatujatenda dhambi,” tunamfanya yeye kuwa mwongo, na neno lake halimo ndani yetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki