2 Mambo ya Nyakati 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+ Ayubu 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Kwa kweli najua ya kuwa iko hivyo.Lakini mwanadamu anayeweza kufa anawezaje kuwa upande wa haki akiwa katika kesi na Mungu?+ Zaburi 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Nilizaliwa kwa maumivu nikiwa na kosa,+Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.+ Zaburi 130:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kama ungekuwa unaangalia makosa,+ Ee Yah,Ee Yehova, ni nani angesimama?+ Mhubiri 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hakuna mwanadamu aliye mwadilifu duniani ambaye huendelea kufanya mema na asifanye dhambi.+ Waroma 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+ 1 Yohana 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kama tukisema: “Sisi hatujatenda dhambi,” tunamfanya yeye kuwa mwongo, na neno lake halimo ndani yetu.+
36 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+
2 “Kwa kweli najua ya kuwa iko hivyo.Lakini mwanadamu anayeweza kufa anawezaje kuwa upande wa haki akiwa katika kesi na Mungu?+
20 Kwa maana hakuna mwanadamu aliye mwadilifu duniani ambaye huendelea kufanya mema na asifanye dhambi.+
10 Kama tukisema: “Sisi hatujatenda dhambi,” tunamfanya yeye kuwa mwongo, na neno lake halimo ndani yetu.+