Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Zaburi 143:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wala usiingie katika hukumu pamoja na mtumishi wako;+Kwa maana mbele zako, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu.+ Waroma 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi+ na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
2 Wala usiingie katika hukumu pamoja na mtumishi wako;+Kwa maana mbele zako, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu.+