Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Anapenda uadilifu na haki.+

      Dunia imejawa na fadhili zenye upendo za Yehova.+

  • Zaburi 67:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+

      Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+

      Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela.

  • Danieli 4:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki