Zaburi 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Anapenda uadilifu na haki.+Dunia imejawa na fadhili zenye upendo za Yehova.+ Zaburi 67:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela. Danieli 4:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+
4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela.
37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+