Kumbukumbu la Torati 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.” Isaya 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+ sifa yake kutoka mwisho wa dunia,+ ninyi mnaoshuka kwenda baharini+ na kwa vyote vilivyomo ndani yake, ninyi visiwa na ninyi mnaokaa ndani yake.+ Waroma 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye anasema tena: “Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake.”+
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”
10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+ sifa yake kutoka mwisho wa dunia,+ ninyi mnaoshuka kwenda baharini+ na kwa vyote vilivyomo ndani yake, ninyi visiwa na ninyi mnaokaa ndani yake.+