Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+

  • 1 Wafalme 8:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 basi na usikilize ukiwa mbinguni, makao yako yaliyofanywa imara,+ nawe ufanye kulingana na yote ambayo mgeni huyo anakuomba;+ kusudi watu wote wa dunia wajue jina lako+ ili wakuogope kama vile watu wako Israeli wanavyokuogopa, na ili wajue kwamba jina lako limeitwa juu ya nyumba hii ambayo nimeijenga.+

  • Waroma 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, wa watu wa mataifa pia,+

  • Waroma 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye anasema tena: “Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki