1 Wafalme 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na ikawa ikitukia kwamba, kila mara mfalme akija katika nyumba ya Yehova, wakimbiaji walizichukua, nao walizirudisha katika chumba cha walinzi cha wakimbiaji.+ 2 Mambo ya Nyakati 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi wakamzika katika Jiji la Daudi pamoja na wafalme,+ kwa sababu alikuwa ametenda mema katika Israeli+ na kwa Mungu wa kweli na kwa nyumba Yake.
28 Na ikawa ikitukia kwamba, kila mara mfalme akija katika nyumba ya Yehova, wakimbiaji walizichukua, nao walizirudisha katika chumba cha walinzi cha wakimbiaji.+
16 Basi wakamzika katika Jiji la Daudi pamoja na wafalme,+ kwa sababu alikuwa ametenda mema katika Israeli+ na kwa Mungu wa kweli na kwa nyumba Yake.