Kumbukumbu la Torati 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.” Kumbukumbu la Torati Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 32:43 w98 2/1 12, 17 Kumbukumbu la Torati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 32:43 Mnara wa Mlinzi,2/1/1998, kur. 12, 174/15/1991, kur. 12-13
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.”