Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 32:1

Marejeo

  • +Kum 4:26; 30:19

Kumbukumbu la Torati 32:2

Marejeo

  • +Ayu 29:22; Isa 55:10
  • +Met 19:12; Ho. 14:5
  • +Zb 72:6
  • +Mik 5:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2020, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2016, kur. 3-4

    Amkeni!,

    5/22/1995, uku. 31

Kumbukumbu la Torati 32:3

Marejeo

  • +Kut 34:5; Zb 105:1; Yoh 17:26
  • +1Nya 29:11; Zb 145:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2020, kur. 10-11

Kumbukumbu la Torati 32:4

Marejeo

  • +2Sa 22:31; Zb 18:2; 19:7; Yak 1:17
  • +Zb 33:5; 67:4; Da 4:37
  • +Kum 7:9; Ne 9:33; Zb 98:3; Ebr 10:23; 1Pe 4:19
  • +Kum 25:16; Ayu 34:10; Ro 3:5
  • +Mwa 18:25; Zb 92:15; 99:4; Ho. 14:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 125

    Mkaribie Yehova, uku. 112

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2009, uku. 14

    9/15/2004, uku. 27

    3/1/1989, kur. 19-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/1 14; w04 9/15 27; cl 112

Kumbukumbu la Torati 32:5

Marejeo

  • +Kum 31:27; Amu 2:19; Zb 14:1
  • +Isa 1:4; Yer 15:6; Yak 1:14
  • +Zb 78:8; Lu 9:41; Flp 2:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    3/22/2002, uku. 30

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1988, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    g02 3/22 30

Kumbukumbu la Torati 32:6

Marejeo

  • +Isa 1:2
  • +Yer 4:22
  • +Kut 4:22; Kum 32:18; 2Sa 7:23; Isa 63:16
  • +Zb 55:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2008, uku. 5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/1 5

Kumbukumbu la Torati 32:7

Marejeo

  • +Isa 63:11
  • +Kut 13:14; Zb 44:1
  • +Zb 78:3

Kumbukumbu la Torati 32:8

Marejeo

  • +Mwa 10:5; Zb 115:16
  • +Mwa 11:9
  • +Kum 2:5, 19; Mdo 17:26
  • +Mwa 15:18; Kut 23:31; Zb 105:44

Kumbukumbu la Torati 32:9

Marejeo

  • +Kut 15:16; 19:5; Kum 7:6; 26:19
  • +1Sa 10:1; Zb 74:2; 78:71

Kumbukumbu la Torati 32:10

Marejeo

  • +Kum 8:15; Ho. 13:5
  • +Zb 107:4; Yer 2:6
  • +Ne 9:19
  • +Ne 9:20; Zb 8:4
  • +Zb 17:8; Zek 2:8

Kumbukumbu la Torati 32:11

Marejeo

  • +Isa 31:5
  • +Kut 19:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2001, uku. 9

    6/15/2001, uku. 26

    6/15/1996, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 26; w01 10/1 9; w96 6/15 11

Kumbukumbu la Torati 32:12

Marejeo

  • +Kum 1:31
  • +Isa 43:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2001, uku. 9

    6/15/2001, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 26; w01 10/1 9

Kumbukumbu la Torati 32:13

Marejeo

  • +Kum 33:29; Isa 58:14
  • +Kum 8:8
  • +Zb 81:16
  • +Ayu 29:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 547

Kumbukumbu la Torati 32:14

Marejeo

  • +Mwa 18:8
  • +Eze 39:18
  • +Zb 147:14
  • +Mwa 49:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 15

    9/15/2004, uku. 27

    5/1/1989, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 9/15 27

Kumbukumbu la Torati 32:15

Marejeo

  • +Kum 33:5; Isa 44:2
  • +Ho. 4:16
  • +Kum 31:20; Ne 9:25; Zb 73:7
  • +Isa 1:4; 51:13; Ho. 13:6
  • +2Sa 22:47; Zb 89:26; 95:1

Kumbukumbu la Torati 32:16

Marejeo

  • +1Fa 14:22; 1Ko 10:22
  • +Amu 2:12
  • +2Fa 23:13; Eze 8:17

Kumbukumbu la Torati 32:17

Marejeo

  • +Law 17:7; Zb 106:37; 1Ko 10:20
  • +Kum 28:64
  • +Amu 5:8

Kumbukumbu la Torati 32:18

Marejeo

  • +Zb 106:21; Isa 17:10; Yer 2:32; 3:21
  • +Kum 4:34

Kumbukumbu la Torati 32:19

Marejeo

  • +Amu 2:14; Zb 78:59; 106:40

Kumbukumbu la Torati 32:20

Marejeo

  • +Kum 31:17; Ayu 34:29; Zb 30:7
  • +Kum 32:5; Isa 65:2; Mt 17:17
  • +Isa 1:2; 30:9

Kumbukumbu la Torati 32:21

Marejeo

  • +Zb 96:5; Isa 44:10; 1Ko 8:4; 10:20
  • +1Sa 12:10, 21; 1Fa 16:13; Mdo 14:15
  • +Ho. 1:10; 2:23; Ro 9:25; 11:11; 1Pe 2:10
  • +Ro 10:19

Kumbukumbu la Torati 32:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Sheoli. Tazama Nyongeza 4.

Marejeo

  • +Zb 21:9; Yer 15:14; Omb 4:11
  • +Amo 9:2
  • +Sef 3:8
  • +Hab 3:10

Kumbukumbu la Torati 32:23

Marejeo

  • +Law 26:24; Kum 28:15
  • +Zb 7:13; Eze 5:16

Kumbukumbu la Torati 32:24

Marejeo

  • +Kum 28:53
  • +Kum 28:22
  • +Kum 28:21; Amo 4:10
  • +Law 26:22; Yer 15:3; Eze 5:17
  • +Hes 21:6; Yer 8:17; Amo 9:3

Kumbukumbu la Torati 32:25

Marejeo

  • +Yer 9:16; Omb 1:20
  • +Yer 9:21; Eze 7:15
  • +2Nya 36:17
  • +Omb 2:21

Kumbukumbu la Torati 32:26

Marejeo

  • +Law 26:33; Kum 28:25; Eze 20:23; Lu 21:24
  • +Kum 9:14

Kumbukumbu la Torati 32:27

Marejeo

  • +1Sa 12:22; Eze 20:14
  • +Kut 32:12; Hes 14:16
  • +Zb 115:2; 140:8
  • +Isa 37:24

Kumbukumbu la Torati 32:28

Marejeo

  • +Zb 106:13; 107:11; Lu 7:30
  • +Isa 6:10; 27:11; Mt 13:15

Kumbukumbu la Torati 32:29

Marejeo

  • +Zb 81:13; Met 1:5; 27:11
  • +Zb 107:43; Ho. 14:9; 1Ti 4:15
  • +Yer 2:19; Omb 1:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 35

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2008, kur. 8-11

    7/1/1999, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/1 8-11; w99 7/1 32

Kumbukumbu la Torati 32:30

Marejeo

  • +2Nya 24:24; Isa 30:17
  • +Amu 2:14; 1Sa 12:9; Zb 44:12; Isa 50:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 734-735

Kumbukumbu la Torati 32:31

Marejeo

  • +Kut 14:25; 1Sa 2:2
  • +1Sa 4:8; Ezr 1:3; Da 2:47

Kumbukumbu la Torati 32:32

Marejeo

  • +Isa 1:10; Yud 7
  • +Isa 5:4; Yer 2:21

Kumbukumbu la Torati 32:33

Marejeo

  • +Zb 58:4; 140:3

Kumbukumbu la Torati 32:34

Marejeo

  • +Ho. 13:12; Ro 2:5

Kumbukumbu la Torati 32:35

Marejeo

  • +Zb 94:1; Nah 1:2; Ro 12:19; Ebr 10:30
  • +Zb 9:15; 73:18; Isa 8:15
  • +Yer 10:15; Lu 19:44
  • +Isa 30:13; Hab 2:3; 2Pe 2:3

Kumbukumbu la Torati 32:36

Marejeo

  • +Zb 7:8; 96:13; Ebr 10:30
  • +Amu 2:18; Zb 90:13; 106:45; 135:14

Kumbukumbu la Torati 32:37

Marejeo

  • +Amu 10:14; Yer 2:28
  • +Kum 32:31

Kumbukumbu la Torati 32:38

Marejeo

  • +Eze 16:19; 1Ko 10:20
  • +Ho. 2:8; 1Ko 10:21
  • +Amu 10:14
  • +Amo 9:2

Kumbukumbu la Torati 32:39

Marejeo

  • +Isa 41:4; 48:12
  • +Kum 4:35; Isa 45:5
  • +1Sa 2:6; 2Fa 5:7; Zb 68:20
  • +Hes 12:13; 2Nya 21:18
  • +Yer 17:14; Ho. 6:1
  • +Isa 43:13

Kumbukumbu la Torati 32:40

Marejeo

  • +Kut 6:8; Isa 45:23; Ebr 6:13
  • +Zb 90:2; 1Ti 1:17; Ufu 10:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Kumbukumbu la Torati 32:41

Marejeo

  • +Zb 7:12; Eze 21:10
  • +Isa 66:16; Nah 1:3
  • +Kum 32:35; Isa 1:24; 59:18; 66:6; Nah 1:2
  • +Kut 20:5

Kumbukumbu la Torati 32:42

Marejeo

  • +Kum 32:23
  • +Isa 34:6; Eze 38:21
  • +Yos 10:17, 26; 1Sa 15:33

Kumbukumbu la Torati 32:43

Marejeo

  • +Mwa 12:3; 1Fa 8:43; Ro 3:29; 15:10
  • +2Fa 9:7; Ufu 6:10
  • +Kum 32:41; Mik 5:15; Lu 21:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1998, kur. 12, 17

    4/15/1991, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/1 12, 17

Kumbukumbu la Torati 32:44

Marejeo

  • +Kum 31:22; Ufu 15:3
  • +Hes 11:28; Kum 31:23

Kumbukumbu la Torati 32:46

Marejeo

  • +Kum 6:6; 11:18
  • +Kum 6:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2001, uku. 19

    8/15/1988, kur. 10-12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 10/15 19

Kumbukumbu la Torati 32:47

Marejeo

  • +2Ti 3:16; Ebr 4:12
  • +Law 18:5; Kum 30:19; Ro 10:5
  • +Met 3:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2023, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2008, kur. 5-6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/15 5-6

Kumbukumbu la Torati 32:49

Marejeo

  • +Hes 27:12
  • +Kum 34:1
  • +Mwa 10:19; 15:18; Yos 1:3

Kumbukumbu la Torati 32:50

Marejeo

  • +Kum 34:5
  • +Hes 20:28; 33:38

Kumbukumbu la Torati 32:51

Marejeo

  • +Hes 20:12; 27:14
  • +Hes 20:13
  • +Law 10:3; 22:32; Isa 8:13; Mt 6:9

Kumbukumbu la Torati 32:52

Marejeo

  • +Hes 27:13; Kum 3:27; 34:4

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 32:1Kum 4:26; 30:19
Kum. 32:2Ayu 29:22; Isa 55:10
Kum. 32:2Met 19:12; Ho. 14:5
Kum. 32:2Zb 72:6
Kum. 32:2Mik 5:7
Kum. 32:3Kut 34:5; Zb 105:1; Yoh 17:26
Kum. 32:31Nya 29:11; Zb 145:3
Kum. 32:42Sa 22:31; Zb 18:2; 19:7; Yak 1:17
Kum. 32:4Zb 33:5; 67:4; Da 4:37
Kum. 32:4Kum 7:9; Ne 9:33; Zb 98:3; Ebr 10:23; 1Pe 4:19
Kum. 32:4Kum 25:16; Ayu 34:10; Ro 3:5
Kum. 32:4Mwa 18:25; Zb 92:15; 99:4; Ho. 14:9
Kum. 32:5Kum 31:27; Amu 2:19; Zb 14:1
Kum. 32:5Isa 1:4; Yer 15:6; Yak 1:14
Kum. 32:5Zb 78:8; Lu 9:41; Flp 2:15
Kum. 32:6Isa 1:2
Kum. 32:6Yer 4:22
Kum. 32:6Kut 4:22; Kum 32:18; 2Sa 7:23; Isa 63:16
Kum. 32:6Zb 55:22
Kum. 32:7Isa 63:11
Kum. 32:7Kut 13:14; Zb 44:1
Kum. 32:7Zb 78:3
Kum. 32:8Mwa 10:5; Zb 115:16
Kum. 32:8Mwa 11:9
Kum. 32:8Kum 2:5, 19; Mdo 17:26
Kum. 32:8Mwa 15:18; Kut 23:31; Zb 105:44
Kum. 32:9Kut 15:16; 19:5; Kum 7:6; 26:19
Kum. 32:91Sa 10:1; Zb 74:2; 78:71
Kum. 32:10Kum 8:15; Ho. 13:5
Kum. 32:10Zb 107:4; Yer 2:6
Kum. 32:10Ne 9:19
Kum. 32:10Ne 9:20; Zb 8:4
Kum. 32:10Zb 17:8; Zek 2:8
Kum. 32:11Isa 31:5
Kum. 32:11Kut 19:4
Kum. 32:12Kum 1:31
Kum. 32:12Isa 43:12
Kum. 32:13Kum 33:29; Isa 58:14
Kum. 32:13Kum 8:8
Kum. 32:13Zb 81:16
Kum. 32:13Ayu 29:6
Kum. 32:14Mwa 18:8
Kum. 32:14Eze 39:18
Kum. 32:14Zb 147:14
Kum. 32:14Mwa 49:11
Kum. 32:15Kum 33:5; Isa 44:2
Kum. 32:15Ho. 4:16
Kum. 32:15Kum 31:20; Ne 9:25; Zb 73:7
Kum. 32:15Isa 1:4; 51:13; Ho. 13:6
Kum. 32:152Sa 22:47; Zb 89:26; 95:1
Kum. 32:161Fa 14:22; 1Ko 10:22
Kum. 32:16Amu 2:12
Kum. 32:162Fa 23:13; Eze 8:17
Kum. 32:17Law 17:7; Zb 106:37; 1Ko 10:20
Kum. 32:17Kum 28:64
Kum. 32:17Amu 5:8
Kum. 32:18Zb 106:21; Isa 17:10; Yer 2:32; 3:21
Kum. 32:18Kum 4:34
Kum. 32:19Amu 2:14; Zb 78:59; 106:40
Kum. 32:20Kum 31:17; Ayu 34:29; Zb 30:7
Kum. 32:20Kum 32:5; Isa 65:2; Mt 17:17
Kum. 32:20Isa 1:2; 30:9
Kum. 32:21Zb 96:5; Isa 44:10; 1Ko 8:4; 10:20
Kum. 32:211Sa 12:10, 21; 1Fa 16:13; Mdo 14:15
Kum. 32:21Ho. 1:10; 2:23; Ro 9:25; 11:11; 1Pe 2:10
Kum. 32:21Ro 10:19
Kum. 32:22Zb 21:9; Yer 15:14; Omb 4:11
Kum. 32:22Amo 9:2
Kum. 32:22Sef 3:8
Kum. 32:22Hab 3:10
Kum. 32:23Law 26:24; Kum 28:15
Kum. 32:23Zb 7:13; Eze 5:16
Kum. 32:24Kum 28:53
Kum. 32:24Kum 28:22
Kum. 32:24Kum 28:21; Amo 4:10
Kum. 32:24Law 26:22; Yer 15:3; Eze 5:17
Kum. 32:24Hes 21:6; Yer 8:17; Amo 9:3
Kum. 32:25Yer 9:16; Omb 1:20
Kum. 32:25Yer 9:21; Eze 7:15
Kum. 32:252Nya 36:17
Kum. 32:25Omb 2:21
Kum. 32:26Law 26:33; Kum 28:25; Eze 20:23; Lu 21:24
Kum. 32:26Kum 9:14
Kum. 32:271Sa 12:22; Eze 20:14
Kum. 32:27Kut 32:12; Hes 14:16
Kum. 32:27Zb 115:2; 140:8
Kum. 32:27Isa 37:24
Kum. 32:28Zb 106:13; 107:11; Lu 7:30
Kum. 32:28Isa 6:10; 27:11; Mt 13:15
Kum. 32:29Zb 81:13; Met 1:5; 27:11
Kum. 32:29Zb 107:43; Ho. 14:9; 1Ti 4:15
Kum. 32:29Yer 2:19; Omb 1:9
Kum. 32:302Nya 24:24; Isa 30:17
Kum. 32:30Amu 2:14; 1Sa 12:9; Zb 44:12; Isa 50:1
Kum. 32:31Kut 14:25; 1Sa 2:2
Kum. 32:311Sa 4:8; Ezr 1:3; Da 2:47
Kum. 32:32Isa 1:10; Yud 7
Kum. 32:32Isa 5:4; Yer 2:21
Kum. 32:33Zb 58:4; 140:3
Kum. 32:34Ho. 13:12; Ro 2:5
Kum. 32:35Zb 94:1; Nah 1:2; Ro 12:19; Ebr 10:30
Kum. 32:35Zb 9:15; 73:18; Isa 8:15
Kum. 32:35Yer 10:15; Lu 19:44
Kum. 32:35Isa 30:13; Hab 2:3; 2Pe 2:3
Kum. 32:36Zb 7:8; 96:13; Ebr 10:30
Kum. 32:36Amu 2:18; Zb 90:13; 106:45; 135:14
Kum. 32:37Amu 10:14; Yer 2:28
Kum. 32:37Kum 32:31
Kum. 32:38Eze 16:19; 1Ko 10:20
Kum. 32:38Ho. 2:8; 1Ko 10:21
Kum. 32:38Amu 10:14
Kum. 32:38Amo 9:2
Kum. 32:39Isa 41:4; 48:12
Kum. 32:39Kum 4:35; Isa 45:5
Kum. 32:391Sa 2:6; 2Fa 5:7; Zb 68:20
Kum. 32:39Hes 12:13; 2Nya 21:18
Kum. 32:39Yer 17:14; Ho. 6:1
Kum. 32:39Isa 43:13
Kum. 32:40Kut 6:8; Isa 45:23; Ebr 6:13
Kum. 32:40Zb 90:2; 1Ti 1:17; Ufu 10:6
Kum. 32:41Zb 7:12; Eze 21:10
Kum. 32:41Isa 66:16; Nah 1:3
Kum. 32:41Kum 32:35; Isa 1:24; 59:18; 66:6; Nah 1:2
Kum. 32:41Kut 20:5
Kum. 32:42Kum 32:23
Kum. 32:42Isa 34:6; Eze 38:21
Kum. 32:42Yos 10:17, 26; 1Sa 15:33
Kum. 32:43Mwa 12:3; 1Fa 8:43; Ro 3:29; 15:10
Kum. 32:432Fa 9:7; Ufu 6:10
Kum. 32:43Kum 32:41; Mik 5:15; Lu 21:22
Kum. 32:44Kum 31:22; Ufu 15:3
Kum. 32:44Hes 11:28; Kum 31:23
Kum. 32:46Kum 6:6; 11:18
Kum. 32:46Kum 6:7
Kum. 32:472Ti 3:16; Ebr 4:12
Kum. 32:47Law 18:5; Kum 30:19; Ro 10:5
Kum. 32:47Met 3:2
Kum. 32:49Hes 27:12
Kum. 32:49Kum 34:1
Kum. 32:49Mwa 10:19; 15:18; Yos 1:3
Kum. 32:50Kum 34:5
Kum. 32:50Hes 20:28; 33:38
Kum. 32:51Hes 20:12; 27:14
Kum. 32:51Hes 20:13
Kum. 32:51Law 10:3; 22:32; Isa 8:13; Mt 6:9
Kum. 32:52Hes 27:13; Kum 3:27; 34:4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 32:1-52

Kumbukumbu la Torati

32 “Tegeni sikio, enyi mbingu, nami niseme;

Dunia na isikie maneno ya kinywa changu.+

 2 Mafundisho yangu yatatiririka kama mvua,+

Maneno yangu yatadondoka kama umande,+

Kama mvua ya rasharasha juu ya majani+

Na kama manyunyu mengi juu ya mimea+

 3 Kwa maana mimi nitatangaza jina la Yehova.+

Nanyi mhesabieni ukuu Mungu wetu!+

 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

Kwa maana njia zake zote ni haki.+

Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

 5 Wametenda kwa uharibifu;+

Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+

Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+

 6 Je, Yehova ndiye mnayeendelea kumfanyia hivi,+

Enyi watu wajinga na ambao hawana hekima?+

Je, yeye si Baba yenu aliyewazaa,+

Yeye aliyewafanyiza ninyi na kuwaimarisha?+

 7 Kumbuka siku za kale,+

Fikirieni miaka iliyopita kutoka kizazi mpaka kizazi;

Muulize baba yako, naye anaweza kukuambia;+

Wanaume wenu wazee, nao wanaweza kukuambia.+

 8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+

Alipowatenganisha wana wa Adamu,+

Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+

Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+

 9 Kwa maana fungu la Yehova ni watu wake;+

Yakobo ndiye mgawo anaorithi.+

10 Alimpata katika nchi ya nyika,+

Na katika jangwa tupu, lenye kulia.+

Alianza kumzunguka,+ kumtunza,+

Kumlinda kama mboni ya jicho lake.+

11 Kama vile tai anavyokitikisa kiota chake,

Anavyoelea angani juu ya watoto wake,+

Anavyotandaza mabawa yake, na kuwachukua,

Anavyowachukua kwenye manyoya yake,+

12 Ndivyo Yehova peke yake alivyoendelea kumwongoza,+

Na hapakuwa na mungu yeyote wa kigeni pamoja naye.+

13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+

Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+

Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+

Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+

14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+

Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,

Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+

Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+

Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+

15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+

Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+

Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+

Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.

16 Walianza kumchochea awe na wivu+ kwa miungu migeni;+

Kwa mambo yenye kuchukiza waliendelea kumtia uchungu.+

17 Waliwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+

Miungu ambayo hawakuijua,+

Mipya iliyokuja hivi karibuni,+

Ambayo mababu zenu hawakuifahamu.

18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+

Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+

19 Yehova alipoona hilo, ndipo akawadharau wao,+

Kwa sababu ya usumbufu uliosababishwa na wanawe na binti zake.

20 Kwa hiyo akasema, ‘Acha niufiche uso wangu kutoka kwao,+

Acha nione mwisho wao utakuwaje baadaye.

Kwa maana wao ni kizazi chenye upotovu,+

Wana ambao ndani yao hamna uaminifu.+

21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+

Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+

Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+

Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+

22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+

Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+

Nao utateketeza dunia na mazao yake+

Nao utawasha misingi ya milima.+

23 Nitaongeza misiba juu yao;+

Mishale yangu nitaitumia juu yao.+

24 Watachoka kutokana na njaa+ na kuliwa na homa kali+

Na maangamizi machungu.+

Na meno ya wanyama nitatuma juu yao,+

Kwa sumu ya watambaazi wa mavumbini.+

25 Nje upanga utawasababishia vifo,+

Na ndani woga,+

Wa kijana na bikira,+

Anayenyonya pamoja na mwanamume mwenye mvi.+

26 Ningalikuwa nimesema: “Nitawatawanya,+

Nitalifanya jina lao likome kutoka katikati ya watu wanaoweza kufa,”+

27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+

Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+

Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+

Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+

28 Kwa maana wao ni taifa ambalo juu yake shauri huangamia,+

Na katikati yao hamna uelewaji.+

29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+

Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+

30 Mmoja angewezaje kufuatilia elfu,

Na wawili kuwafanya elfu kumi wakimbie?+

Haingewezekana isipokuwa Mwamba wao awe amewauza+

Na Yehova awe amewatoa.

31 Kwa maana mwamba wao si kama Mwamba wetu,+

Hata ikiwa adui zetu ndio wangeamua.+

32 Kwa maana mzabibu wao unatoka katika mzabibu wa Sodoma

Na kutoka katika matuta ya Gomora.+

Zabibu zao ni zabibu za sumu,

Vishada vyao ni vichungu.+

33 Divai yao ni sumu ya nyoka wakubwa

Na sumu kali ya swila.+

34 Je, sina akiba yake,

Muhuri ukiwa umetiwa juu yake katika ghala langu?+

35 Kisasi ni changu, na malipo.+

Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+

Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+

Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+

36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+

Naye atajuta juu ya watumishi wake,+

Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetoweka

Na aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.

37 Naye hakika atasema, ‘Miungu yao iko wapi,+

Mwamba ambaye walimkimbilia,+

38 Iliyokuwa ikila mafuta ya dhabihu zao,+

Ili kunywa divai ya matoleo yao ya kinywaji?+

Na isimame na kuwasaidia ninyi.+

Na iwe mahali pa maficho kwa ajili yenu.+

39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+

Na hakuna miungu pamoja nami.+

Mimi huua, nami hufanya hai.+

Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+

Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+

40 Kwa maana mimi nainua mkono wangu kuelekea mbinguni kwa kiapo,+

Nami ninasema: “Kama nilivyo hai mpaka wakati usio na

kipimo,”+

41 Kwa kweli nikiunoa upanga wangu unaometameta,+

Na mkono wangu ushike hukumu,+

Nitawalipa kisasi wapinzani wangu+

Na kutoa malipo kwa wale wanaonichukia vikali.+

42 Nitailewesha mishale yangu kwa damu,+

Nao upanga wangu utakula nyama,+

Kwa damu ya waliouawa na mateka,

Kwa vichwa vya viongozi wa adui.’+

43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+

Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+

Naye atawalipa kisasi adui zake+

Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”

44 Basi Musa akaja na kusema maneno yote ya wimbo huu masikioni mwa watu,+ yeye na Hoshea mwana wa Nuni.+ 45 Baada ya Musa kumaliza kuwaambia Israeli wote maneno yote hayo, 46 ndipo akawaambia: “Tieni mioyo yenu katika maneno yote ninayosema kwa kuwaonya ninyi leo,+ ili muwaamuru wana wenu wawe waangalifu kufanya maneno yote ya sheria hii.+ 47 Kwa maana hilo si neno lisilo na thamani kwenu,+ bali linamaanisha uhai wenu,+ na kwa neno hili mnaweza kurefusha siku zenu juu ya udongo ambao mnavuka Yordani ili kuumiliki.”+

48 Na Yehova akasema na Musa siku hiyohiyo, na kumwambia: 49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, mbele ya Yeriko, nawe uione nchi ya Kanaani, ninayowapa wana wa Israeli waimiliki.+ 50 Kisha ufe katika mlima utakaopanda, na kukusanywa kwa watu wako,+ kama vile Haruni ndugu yako alivyokufa katika Mlima Hori+ na kukusanywa kwa watu wake; 51 Kwa sababu ninyi mlitenda isivyofaa kunielekea mimi+ katikati ya wana wa Israeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika nyika ya Zini; kwa sababu ninyi hamkunitakasa mimi katikati ya wana wa Israeli.+ 52 Kwa maana kutoka mbali utaiona nchi, lakini hutaingia katika nchi ninayowapa wana wa Israeli.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki