Hosea 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana, kama vile ng’ombe mkaidi, ndivyo Israeli amekuwa mkaidi.+ Je, ni wakati huu kwamba Yehova atawachunga kama vile mwana-kondoo dume katika mahali penye nafasi pana?
16 Kwa maana, kama vile ng’ombe mkaidi, ndivyo Israeli amekuwa mkaidi.+ Je, ni wakati huu kwamba Yehova atawachunga kama vile mwana-kondoo dume katika mahali penye nafasi pana?