2 Samweli 22:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yehova anaishi;+ na abarikiwe Mwamba wangu;+Na Mungu wa mwamba wa wokovu wangu atukuzwe.+ Zaburi 89:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yeye mwenyewe huniita, ‘Wewe ni Baba+ yangu,Mungu+ wangu na Mwamba wa wokovu wangu.’+ Zaburi 95:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+
95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+