2 Samweli 22:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yehova anaishi;+ na abarikiwe Mwamba wangu;+Na Mungu wa mwamba wa wokovu wangu atukuzwe.+ Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Luka 23:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na Yesu akaita kwa sauti kubwa na kusema: “Baba, ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako.”+ Alipokuwa amesema jambo hilo, akakata pumzi.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
46 Na Yesu akaita kwa sauti kubwa na kusema: “Baba, ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako.”+ Alipokuwa amesema jambo hilo, akakata pumzi.+