Zaburi 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na bado wewe, Ee Yehova, ni ngao inayonizunguka,+Utukufu+ wangu na Mwenye kuinua kichwa changu.+ Zaburi 37:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+Atawaponya kutoka kwa watu waovu na kuwaokoa,+Kwa sababu wamemkimbilia yeye.+ Zaburi 40:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+ Zaburi 70:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Ee Mungu, uchukue hatua haraka kwa ajili yangu.+Wewe ndiye msaada wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Yehova, usichelewe mno.+ Zaburi 144:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+
40 Na Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+Atawaponya kutoka kwa watu waovu na kuwaokoa,+Kwa sababu wamemkimbilia yeye.+
17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+
5 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Ee Mungu, uchukue hatua haraka kwa ajili yangu.+Wewe ndiye msaada wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Yehova, usichelewe mno.+
2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+