Zaburi 40:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+ Zaburi 69:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Lakini mimi ninateseka na nina maumivu.+Wokovu wako mwenyewe, Ee Mungu, na unilinde.+ Zaburi 109:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana nateseka nami ni maskini,+Na moyo wangu umechomwa ndani yangu.+
17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+