Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 54:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tazama! Mungu ni msaidizi wangu;+

      Yehova yuko kati ya wale wanaoitegemeza nafsi yangu.

  • Isaya 50:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitalazimika kufedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu kama jiwe, nami najua kwamba sitatiwa aibu.+

  • Waebrania 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki