18 Lakini mimi, tazama, leo nimekufanya wewe kuwa jiji lenye ngome na nguzo ya chuma na kuta za shaba+ juu ya nchi yote,+ kuwaelekea wafalme wa Yuda, kuwaelekea wakuu wake, kuwaelekea makuhani wake na kuwaelekea watu wa nchi hii.+
9 Nimelifanya paji la uso wako kuwa kama almasi, gumu kuliko jiwe gumu.+ Usiwaogope,+ wala usiingiwe na hofu kwa sababu ya nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.”+