7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitalazimika kufedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu kama jiwe, nami najua kwamba sitatiwa aibu.+
12 Nayo mioyo yao+ wakaifanya kuwa kama jiwe gumu ili isitii sheria+ na maneno ambayo Yehova wa majeshi alipeleka kwa roho yake,+ kupitia manabii wa kale;+ hata Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+