30 Lakini uliwavumilia kwa miaka mingi+ nawe ukaendelea kutoa ushahidi+ juu yao kwa roho yako kupitia manabii wako, wala hawakutega sikio.+ Mwishowe ukawatia mikononi mwa watu wa nchi hizo.+
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+