Zaburi 56:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimeweka tegemeo langu katika Mungu. Sitaogopa.+Mtu wa udongo anaweza kunitenda nini?+ Zaburi 118:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova yuko upande wangu; sitaogopa.+Mtu wa udongo anaweza kunitenda nini?+ Danieli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kama ni hivyo, Mungu ambaye tunamtumikia anaweza kutuokoa. Yeye atatuokoa+ kutoka katika tanuru inayowaka moto na kutoka mkononi mwako, Ee mfalme. Luka 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Zaidi ya hayo, ninawaambia ninyi, rafiki zangu,+ Msiwaogope wale wanaouua mwili na baada ya hilo hawawezi kufanya jambo lolote zaidi.+
17 Kama ni hivyo, Mungu ambaye tunamtumikia anaweza kutuokoa. Yeye atatuokoa+ kutoka katika tanuru inayowaka moto na kutoka mkononi mwako, Ee mfalme.
4 Zaidi ya hayo, ninawaambia ninyi, rafiki zangu,+ Msiwaogope wale wanaouua mwili na baada ya hilo hawawezi kufanya jambo lolote zaidi.+