Zaburi 56:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Katika umoja na Mungu nitalisifu neno lake.+Nimeliweka tegemeo langu kwa Mungu; Sitaogopa.+Mwenye mwili wa nyama anaweza kunitenda nini?+ Waebrania 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+
4 Katika umoja na Mungu nitalisifu neno lake.+Nimeliweka tegemeo langu kwa Mungu; Sitaogopa.+Mwenye mwili wa nyama anaweza kunitenda nini?+
6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+