Zaburi 56:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika umoja na Mungu,+ nitalisifu neno lake;Katika umoja na Yehova, nitalisifu neno lake.+ Zaburi 119:160 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 160 Kiini cha neno lako ni kweli,+Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+
160 Kiini cha neno lako ni kweli,+Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+