2 Samweli 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na sasa, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli; na maneno yako yawe kweli,+ kwa kuwa unamwahidi mtumishi wako wema huu.+ 1 Wafalme 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo yule mwanamke akamwambia Eliya: “Kwa kweli sasa najua kwamba wewe ni mtu wa Mungu+ na kwamba neno la Yehova kinywani mwako ni la kweli.”+ Zaburi 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba. Zaburi 119:140 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 140 Neno lako ni safi sana,+Na mtumishi wako analipenda.+ Methali 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kila neno la Mungu ni safi.+ Yeye ni ngao kwao wanaomkimbilia.+ Yohana 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watakase+ kwa njia ya ile kweli; neno+ lako ni kweli.+
28 Na sasa, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli; na maneno yako yawe kweli,+ kwa kuwa unamwahidi mtumishi wako wema huu.+
24 Ndipo yule mwanamke akamwambia Eliya: “Kwa kweli sasa najua kwamba wewe ni mtu wa Mungu+ na kwamba neno la Yehova kinywani mwako ni la kweli.”+
6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba.