Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na sasa, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli; na maneno yako yawe kweli,+ kwa kuwa unamwahidi mtumishi wako wema huu.+

  • 1 Wafalme 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo yule mwanamke akamwambia Eliya: “Kwa kweli sasa najua kwamba wewe ni mtu wa Mungu+ na kwamba neno la Yehova kinywani mwako ni la kweli.”+

  • Zaburi 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+

      Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba.

  • Zaburi 119:140
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 140 Neno lako ni safi sana,+

      Na mtumishi wako analipenda.+

  • Methali 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kila neno la Mungu ni safi.+ Yeye ni ngao kwao wanaomkimbilia.+

  • Yohana 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watakase+ kwa njia ya ile kweli; neno+ lako ni kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki