2 Samweli 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+ Zaburi 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+ Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+ Zaburi 119:140 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 140 Neno lako ni safi sana,+Na mtumishi wako analipenda.+ Methali 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kila neno la Mungu ni safi.+ Yeye ni ngao kwao wanaomkimbilia.+
31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+
30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+
8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+