Kumbukumbu la Torati 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini hamkutaka kwenda,+ nanyi mkaanza kujiendesha kwa kuliasi agizo la Yehova Mungu wenu.+ 1 Samweli 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mkimwogopa+ Yehova na kumtumikia+ na kuitii sauti yake+ kwelikweli, nanyi msipoliasi+ agizo la Yehova, ninyi pamoja na mfalme atakayetawala juu yenu mtakuwa wafuasi wa Yehova, Mungu wenu. Zaburi 111:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kazi za mikono yake ni kweli na hukumu;+ נ [Nun]Maagizo yake yote anayotoa ni yenye kutegemeka,+
14 Mkimwogopa+ Yehova na kumtumikia+ na kuitii sauti yake+ kwelikweli, nanyi msipoliasi+ agizo la Yehova, ninyi pamoja na mfalme atakayetawala juu yenu mtakuwa wafuasi wa Yehova, Mungu wenu.