Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+

      Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+

  • Zaburi 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana neno la Yehova ni la unyoofu,+

      Nayo kazi yake yote ni kwa uaminifu.+

  • Zaburi 119:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wewe mwenyewe umetoa maagizo yako kwa kuamuru+

      Yashikwe kwa uangalifu.+

  • Isaya 55:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki