Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Katika njia yote ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi, mnapaswa kutembea,+ ili mpate kuishi na ili mambo yawaendee ninyi vema+ nanyi mpate kurefusha siku zenu katika nchi mtakayoimiliki.

  • Yeremia 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini niliwaamuru neno hili, nikisema: “Tiini sauti yangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu; na mtembee katika njia+ yote ambayo nitawaamuru ninyi, ili iwe vema kwenu.”’+

  • Yohana 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yule aliye na amri zangu na kuzishika, huyo ndiye ambaye hunipenda.+ Naye anayenipenda atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujionyesha wazi kwake.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki