40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”
28 “Uwe mwangalifu, nawe utii maneno yote haya ambayo ninakuamuru wewe,+ ili mambo yakuendee vema+ wewe na wana wako baada yako mpaka wakati usio na kipimo, kwa sababu utafanya yaliyo mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+