Kumbukumbu la Torati 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru; ili siku zako zipate kuwa ndefu na ili mambo yakuendee vema+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.
16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru; ili siku zako zipate kuwa ndefu na ili mambo yakuendee vema+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.