Kutoka 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye anayempiga baba yake na mama yake lazima auawe.+ Mambo ya Walawi 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Kumbukumbu la Torati 27:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Methali 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+ wala usiiache sheria ya mama yako.+ Marko 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yule anayemtukana baba yake au mama yake na afe.’+
3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yule anayemtukana baba yake au mama yake na afe.’+