18 “Ikiwa mtu atakuwa na mwana ambaye ni mkaidi na mwasi,+ awe hasikilizi sauti ya baba yake au sauti ya mama yake,+ nao wamemrekebisha bali yeye hawasikilizi,+
21 Ndipo watu wote wa jiji watampiga kwa mawe, naye lazima afe. Kwa hiyo mtaondolea mbali kilicho kibaya kutoka kati yenu, na Israeli wote watasikia na kuogopa kwelikweli.+