Kutoka 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye anayempiga baba yake na mama yake lazima auawe.+ Methali 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+ wala usiiache sheria ya mama yako.+ Yeremia 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na Yeremia akawaambia nyumba ya Warekabu: “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Kwa sababu mmeitii amri ya Yehonadabu+ babu yenu nanyi mnaendelea kuzishika amri zake zote na kufanya kulingana na yote ambayo aliwaamuru,+
18 Na Yeremia akawaambia nyumba ya Warekabu: “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Kwa sababu mmeitii amri ya Yehonadabu+ babu yenu nanyi mnaendelea kuzishika amri zake zote na kufanya kulingana na yote ambayo aliwaamuru,+