9 kwa kujua jambo hili, kwamba sheria huwekwa, si kwa ajili ya mtu mwadilifu, bali kwa ajili ya watu wenye kuasi sheria+ na watundu,+ wasiomwogopa Mungu na watenda-dhambi, wasio na fadhili zenye upendo,+ na wenye kutia unajisi, wauaji wa akina baba na wauaji wa akina mama, wenye kuua watu wengine,