Mambo ya Walawi 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Kumbukumbu la Torati 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru; ili siku zako zipate kuwa ndefu na ili mambo yakuendee vema+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe. Mathayo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako’;+ na, ‘Yule anayemtukana baba yake au mama yake na afe.’+ Waefeso 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mheshimu baba yako na mama yako”;+ ambayo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi:+
3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru; ili siku zako zipate kuwa ndefu na ili mambo yakuendee vema+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.
4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako’;+ na, ‘Yule anayemtukana baba yake au mama yake na afe.’+