Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Kumbukumbu la Torati 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru; ili siku zako zipate kuwa ndefu na ili mambo yakuendee vema+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.

  • Mathayo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako’;+ na, ‘Yule anayemtukana baba yake au mama yake na afe.’+

  • Waefeso 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mheshimu baba yako na mama yako”;+ ambayo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki