Kutoka 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Naye anayemlaani baba yake na mama yake lazima atauawa.+ Mambo ya Walawi 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+ Kumbukumbu la Torati 27:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Marko 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yule anayemtukana baba yake au mama yake na afe.’+
9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+
16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yule anayemtukana baba yake au mama yake na afe.’+