Kutoka 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Naye anayemlaani baba yake na mama yake lazima atauawa.+ Mambo ya Walawi 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+ Methali 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ taa yake itazimwa giza linapokaribia.+
9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+