Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo Daudi akamwambia: “Hatia yako ya damu na iwe juu ya kichwa chako mwenyewe,+ kwa sababu kinywa chako mwenyewe kimetoa ushuhuda juu yako,+ kusema, ‘Mimi mwenyewe kwa hakika nilimuua mtiwa-mafuta wa Yehova.’”+

  • 1 Wafalme 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na Yehova atarudisha damu yake juu ya kichwa chake mwenyewe,+ kwa sababu aliwashambulia watu wawili walio waadilifu na bora kuliko yeye mwenyewe,+ naye akawaua kwa upanga, wakati baba yangu Daudi hakuwa amejua habari hizo,+ yaani, Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Israeli+ na Amasa+ mwana wa Yetheri mkuu wa jeshi la Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki