Methali 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Shahidi wa uwongo hatakosa adhabu,+ naye anayesema uwongo hataponyoka.+ Methali 21:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Shahidi anayesema uwongo ataangamia,+ lakini mtu anayesikiliza atasema hata milele.+