1 Wafalme 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na sasa usimwache bila adhabu,+ kwa maana wewe ni mtu mwenye hekima+ na unajua vema jinsi unavyopaswa kumtendea, nawe lazima ushushe katika Kaburi* mvi+ zake kwa damu.”+ Methali 21:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Shahidi anayesema uwongo ataangamia,+ lakini mtu anayesikiliza atasema hata milele.+
9 Na sasa usimwache bila adhabu,+ kwa maana wewe ni mtu mwenye hekima+ na unajua vema jinsi unavyopaswa kumtendea, nawe lazima ushushe katika Kaburi* mvi+ zake kwa damu.”+