Kutoka 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+ Zaburi 105:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+ Methali 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mkono ujaposhikana na mkono, mtu mbaya hatakosa kupewa adhabu;+ lakini uzao wa waadilifu hakika utaponyoka.+ 2 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+
21 Mkono ujaposhikana na mkono, mtu mbaya hatakosa kupewa adhabu;+ lakini uzao wa waadilifu hakika utaponyoka.+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+