Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mtoe nje ya kambi+ yule aliyelaani; na wale wote waliomsikia wataweka mikono+ yao juu ya kichwa chake, nalo kusanyiko lote litampiga kwa mawe.+

  • Yohana 10:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 je, mnaniambia mimi ambaye Baba alinitakasa na kunituma ulimwenguni, ‘Unakufuru,’ kwa sababu nilisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?+

  • Yuda 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 ili kufanya hukumu juu ya wote,+ na kuwathibitisha kuwa ni wenye hatia wote wasiomwogopa Mungu kuhusu matendo yao yote ya kutomwogopa Mungu ambayo walitenda kwa njia ya kutomwogopa Mungu, na kuhusu mambo yote ya kushtua ambayo watenda-dhambi wasiomwogopa Mungu walisema juu yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki