Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake.

  • Hesabu 15:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Baada ya muda Yehova akamwambia Musa: “Mtu huyo lazima auawe,+ kusanyiko lote litampiga kwa mawe nje ya kambi.”+

  • Kumbukumbu la Torati 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nawe utampiga kwa mawe, naye atakufa,+ kwa sababu alijaribu kukugeuza mbali na Yehova Mungu wako, ambaye amekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki