5“‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake.
10 Nawe utampiga kwa mawe, naye atakufa,+ kwa sababu alijaribu kukugeuza mbali na Yehova Mungu wako, ambaye amekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa.+