Mambo ya Walawi 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Ikiwa mtu amesikia mwito wa hadharani wa kutoa ushahidi*+ kuhusu jambo ambalo amejionea au kusikia au kujua, lakini amekataa kutoa habari, basi ametenda dhambi, naye atawajibika kwa sababu ya kosa lake. Mambo ya Walawi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 5:1 w97 8/15 27 Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:1 Furahia Maisha Milele!, somo la 58 Mnara wa Mlinzi,8/15/1997, uku. 279/1/1987, uku. 13
5 “‘Ikiwa mtu amesikia mwito wa hadharani wa kutoa ushahidi*+ kuhusu jambo ambalo amejionea au kusikia au kujua, lakini amekataa kutoa habari, basi ametenda dhambi, naye atawajibika kwa sababu ya kosa lake.