Mwanzo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+ Mwanzo 46:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nafsi zote zilizomjia Yakobo na kuingia Misri zilikuwa zile zilizotoka kiunoni mwake,+ mbali na wake za wana wa Yakobo. Nafsi zote zilikuwa 66. Ezekieli 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.+ Kama ilivyo nafsi+ ya baba ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu.+ Nafsi inayotenda dhambi+—hiyo yenyewe itakufa.+
7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+
26 Nafsi zote zilizomjia Yakobo na kuingia Misri zilikuwa zile zilizotoka kiunoni mwake,+ mbali na wake za wana wa Yakobo. Nafsi zote zilikuwa 66.
4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.+ Kama ilivyo nafsi+ ya baba ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu.+ Nafsi inayotenda dhambi+—hiyo yenyewe itakufa.+