Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini kuhusu matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula, utakufa hakika.”+

  • Mwanzo 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mwanamume ambaye hajatahiriwa, ambaye hatatahiri nyama ya govi lake, nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.+ Yeye amevunja agano langu.”

  • Waamuzi 16:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha Samsoni akasema: “Nafsi yangu na ife+ pamoja na Wafilisti.” Ndipo akajiinamisha kwa nguvu, na nyumba ile ikawaangukia wale wakuu wa muungano na watu wote waliokuwamo ndani,+ hivi kwamba wafu alioua wakati wa kifo chake wakawa wengi kuliko wale alioua wakati wa maisha yake.+

  • Ayubu 33:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na nafsi yake hukaribia kwenye shimo,+

      Na uzima wake kwa wale wanaosababisha kifo.

  • Zaburi 78:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Akatayarisha njia kwa ajili ya hasira yake.+

      Hakuzuia nafsi zao zisipatwe na kifo;

      Nayo maisha yao akayatia kwenye tauni.+

  • Isaya 53:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu katikati ya wengi,+ naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,+ kwa sababu aliimwaga nafsi yake mpaka kufa,+ naye alihesabiwa pamoja na wakosaji;+ naye mwenyewe aliichukua dhambi ya watu wengi,+ aliingilia kati kwa ajili ya wakosaji.+

  • Matendo 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa kweli, nafsi yoyote isiyomsikiliza Nabii huyo itaangamizwa kutoka kati ya watu.’+

  • Waroma 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+

  • Ufunuo 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na yule wa pili+ akamwaga bakuli lake ndani ya bahari.+ Nayo ikawa damu+ kama ya mwanadamu aliyekufa, na kila nafsi iliyo hai ikafa, ndiyo, vitu vilivyo ndani ya bahari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki