Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+

  • Marko 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Zaidi ya hayo, wakawatundika mtini wanyang’anyi wawili pamoja naye, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+

  • Luka 22:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa maana nawaambia ninyi kwamba lazima hili ambalo limeandikwa litimizwe kwangu, yaani, ‘Naye alihesabiwa pamoja na waasi-sheria.’+ Kwa maana kile kinachonihusu kinatimia.”+

  • Luka 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Lakini watu wengine wawili, watenda-maovu, walikuwa pia wakipelekwa wakauawe pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki