19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+
37 Kwa maana nawaambia ninyi kwamba lazima hili ambalo limeandikwa litimizwe kwangu, yaani, ‘Naye alihesabiwa pamoja na waasi-sheria.’+ Kwa maana kile kinachonihusu kinatimia.”+